Vita dhidi ya Pombe haramu yachacha Marakwet

Maafisa wa usalama eneo la Kerio Valley kaunti ya Elgeyo Marakwet,wameanzisha msako mkali dhidi ya biashara ya pombe haramu katika eneo hilo

Akiongoza zoezi hilo,naibu kamishna wa Kerio Valley Peter Lekitashar,amesema kuwa kupitia ushirikiano wa wakazi wa eneo hilo,wameweza kufanikisha oparesheni hiyo

Wakazi wa eneo hilo wamepongeza juhudi hizo za serikali wakisema kuwa biashara ya pombe haramu katika eneo hilo imechangia  pakubwa  vijana wengi  kuwa waraibu wa pombe  haramu na  matumizi ya  dawa za kulevya

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *