Wito umetolewa kwa wanafunzi kutia fora katika masomo yao Leave a Comment Askofu wa jimbo katoliki la Eldoret Dominik Kimegich amewataka wanafunzi kuwa mstari wa mbele katika kutia bidii masomo mwao na kuwa katika nafasi bora ya kujisimamia katika siku za usoni.