Walimu wapongezwa

walimu wote kote nchini wamepongezwa kwa kazi  nzuri ambayo wanafanya katika kuimarisha sekta ya elimu

akiongea na kituo hiki  padre raphael opondo kutoka idara ya elimu  amepigia upatu siku hii ya kushrehekea walimu kote duniani kama yenye manufaa kwao kutoka na majukumu yao ya elimu

aliweza kuwashukuru wale ambao wamestaafu kutokana na matunda yao mazuri katika jamii huku akiwatia moyo walimu ambao wanaendelea kuhudumu kando na changamoto zinazowakumba

amewashauri walimu kuvumilia kwa kupeana elimu  bora haswa wakati huu wa  janga la corona kwa  kukubali wito wowote na kupeana elimu inayohitajika

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *