Padre Dismas; Tuwapende majirani

amewataka kuombea utu kwa kila mtu ili wawe wenye kuwakumbuka wasiojiweza katika jamii.

 amesema kuwa kama wakristo waishi kwa pamoja kupitia kuinua kila   mmoja   na kuendeleza injili yake mungu.

wito umetolewa kwa wakristo kuwajali jirani wao kwa  kuonyesha upendo  kwao kila wakati.

katika homilia ya moja kwa moja  kupitia misa ya asubuhi padre  dismus kutto amewahimiza wakrsto kuwajali wenzao kupitia usaidizi kwao na pia kuwa karibu nao kuwapa moyo kutokana na changamoto wanazopitia maishani.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *