Baadhi ya wamiliki wa vinyozi mjini eldoret kaunti ya uasingishu wamelalamikia kudorora kwa biashara kutokana na makali ya virusi vya corona.
Wamesema kuwa imekuwa ni vigumu kwao kuendeleza shughuli za kila siku kwa vile wameathrika pakubwa kwa ukosefu wa wateja na fedha za kununua vifaa vya kuendesha biashara hizo.
Wameskitia ni jinsi ngani watajinasua kkutoka kwa mtego huu wa mahangaiko iwapo hali ya maambukizi haitabdilika nchini.
Wmetaka serikali kufanya kila juhudu ili kudhibiti janga hili kwa mapema ili uchumi uweze kuimarika haswa katika sekta ya biashara ambayo ndio pato lao.