Tuko Tayari Kupambana na Corona

serikali ya kaunti ya homabay imenunua vifaa  mpya vya kukinga maambukizi ya virusi vya corona  vyenye thamani ya shillingi billion 3.8

vifaa hivyo vya kiafya  vitasamba zwa katika vituo tisa  vya afya kaunti hiyo

akiwakabidhi maafisa wa afya vifaa hivyo  afisa mkuu wa afya kaunti hiyo  eliud onyango ameelezea  imani ya kupigwa jeki  katika jitihada za wahudumu hao katika kukabiliana na maambukizi ya virusi vya corona.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *