Wazee Wamkashifu Gavana

baadhi ya wazee wenye umri wa zaidi ya  miaka 60 kaunti ya uasigishu wamemkashifu vikali gavana jackson ma ndago  aliyetoa  matamshi kwamba  wazee wa umri huo hawaruhisiwi  kutoka kwenye nyumba zao ili kujikinga na maambukizi ya virusi vya corona.

 wazee hao wamesema ugonjwa huo hauchagui umri  na kwamba unaweza kumpata  mtu yeyote.  wakizungumza mjini eldoret wameshangaa iwapo gavana huyo ataweza kutoa chakula kwa hao wote huku badhi yao wakishikilia  kwamba wanategemewa  na familia zao na kwamba wataendelea kufanya shughuli zao njini eldoret.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *