Maadhimisho ya Wiki ya Kunyonyesha Duniani

kina mama katika kaunti ya uasingishu wameshauriwa kuwanyonyesha wanao aghalabu miezi sita ya kwanza Hii ikiwa ni wiki ya kunyonyesha watoto.

Akiongea na kituo hiki kwa njia ya simu daktari peter  barasa kutoka hospitali ya  racecourse amewashauri kina mama  kuhakikisha ya kwamba wanawanyonyesha wanao miezi sita ya kwanza ili kuboresha afya  za watoto wao.  

Amesema kuwa maziwa ya mama ina madini  muhimu kwa ukuaji wa mtoto na hivyo wanapaswa kuzingatia miezi sita ya kwanza  ya kuwanyonyesha wanao mfululizo.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *