mpango wa ufugaji wa mifugo

Serikali ya kaunti ya Elgeyo Marakwet ilizindua mpango  wa bure ya kuwachanja  kondoo  na mbuzi katika maeneo ambayo  kiwango ya  joto hiko juu kama njia moja ya kuwakinga  dhiti ya magonjwa.

Akizindua mpango huo katika eneo la Kabulwo eneo bunge la keiyo Kaskazini gavana wa kaunti hiyo Wesely Rotich alisema kuwa mpango huo  utatakelezwa  katika wadi 6 ambazo ziko kwenye hatari za kukumbwa na mkurupuko wa ugonjwa wa mifugo.

Rotich alidokeza kuwa kupitia mpango huo itawasaidia  wakulima kuboresha ufugaji wa mbuzi na kondoo ili waweze kujikimu kimaisha

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *