Watu wanaoishi na changamoto za kimwili katika eneo bunge la Marakwet magharibi kaunti ya Elgeyo Marakwet waliandamana hii leo wakitaka matakawa yao yatekelezwe ipasavyo hasa shuguli ya usajili likiendelea katika kaunti hiyo .
Watu hao walisema kuwa nafasi ambazo wametengewa ni chache ikilinganishwa na idadi yao,jambo ambalo wametaka serikali kuingilia kati ili wao wapate haki yao.
Haya yanajiri wakati ambapo serikali inaendela kusisitiza haja wazee na watu wanaoishi na ulemavu kujitokeza kusajiliwa kwa mpango wa inua jamii.