Serikali ya kaunti ya Elgeyo Marakwet inapania kuwaajiri wafanyikazi 11 watakaoende kufanya kazi katika idara ya mifugo kama njia moja ya kuepukana na uhaba WA wafanyikazi katika idara hiyo.
Kulingana na afisa mkuu katika idara hiyo Benson Kibore shuguli za idara hiyo imetatizika kufuatia uhaba huo akisema kuwa zaidi WA wafanyikazi 50 wamestaafu.
Akiongea mjini iten Kibore amedokeza kuwa Wakazi WA kaunti wanategemea ufugaji WA n’go mbe hivyo basi swalahilo linafa kutatuliwa