Vijana kutuko eneo bunge la Mogotio county ya Braingo wametoa wito kwa mbunge wao Daniel Tuitoek kuangazia na kukamilisha miradi ya maendeleo ambazo zilianzishwa katika eneo bunge hilo.
Kulingana na vijana hao wakiongozwa na Melvin Kiprop mbunge huyo anaonekana kushugulika na ugavi na kusambaza fedha za basari bila kuzingatia maendeleo kama vile ujenzi wa barabara. Aidha vijana hao wameongeza kuwa shuguli za uchukuzi katika eneo hilo zimetatizika kufuatia barabara mbovu.
