Mgomo wasimamisha kituo cha damu-Eldoret

Shughuli katika kituo cha damu  mjini eldoret zimetatizika  kufuatia mgomo wa wahudumu  wa afya kituoni humo .

 Wahudumu hao wamesema tangu kugatuliwa sekta ya afya  hawajawahi pandishwa vyeo  licha ya wengi wao kuongeza masomo. Kando na hayo mazingira wanayofanyia kazi siyo ya kuridhisha kutokana na hofu ya maambukizi ya virusi vya corona.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *