Mimba za Mapema Transnzoia

 kaunti ya transnzoia imerekodi zaidi  ya visa vya mimba za mapema  elfu 11 huku wito ukitolewa kwa washikadu wote  kushirikiana  katika kukabili visa  hivi.

akitoa  takwimu hizo naibu kamishina wa kaunti  hiyo evans kauma amesema kuwa visa hivi vimeongezeka miongoni mwa  vijana wa miaka 14 kaunti  ndogo  ya endebes ikiongoza kwa visa hivyo nayo ya kiminini ikiongoza kati ya miaka 14 na 19.

naye waziri wa afya kaunti hii clare wanyama wamewataka washikadau wote kushirikiana katika kumaliza jinamizi hili.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *