Githu Muigai; Ipo haja ya kujenga Shule za Sheria Kote Nchini

Ipo haja ya kujenga vyuo vya serikali  vya kutoa mafunzo na sheria  katika miji mbalimbali nchini. Akifika mbele ya kamati ya seneti  kuhusu haki na sheria  kuelezea kuhusu taaluma hii, aliyekuwa mwanasheria mkuu chini Prof Githi Muigai amesema ilivyo kwa sasa wanafunzi wengi maeneo mbalimbali nchini wanapitia hali ngumu kusaka masomo katika chuo hicho  jijini Nairobi hali ambayo pia inasababisha msomgamano katika chuo hicho.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *