Mwandishi Mashuhuri Ken Walibora aaga Dunia

Mwandishi mashuhuri wa riwaya na mwanahabari , Profesa Walibora ameaga dunia akiwa na miaka 56.

 Msomi huyo wa fasihi na mwandishi wa  kitabu cha siku njema aliripotiwa kupotea ijumaa iliyopita  baada ya kugongwa na gari kwenye barabara ya landhies jijini Nairobi.

Mwili wake umepatikana mapema leo katika  chumba cha kuhifadhi maiti katika hospitali kuu ya Kenyatta.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *